Tuesday, December 12, 2017

Mawingu Tz

TANZIA:MO Ibrahim Wa Simba Apata Pigo

Kiungo wa Simba, Mohamed Ibrahim amefiwa na mtoto wake.

Mo Ibrahim amepata pigo baada ya mwanaye kufariki dunia katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

Taarifa zinaeleza mtoto huyo alikuwa mgonjwa lakini juhudi za kuokoa maisha yake hazikuzaa matunda.


Msemaji wa Simba, Haji Manara ametoa salamu za pole kwa Mo Ibrahim kwa niaba ya klabu hiyo.

Tupe Maoni Yako