Wednesday, December 27, 2017

Mawingu Tz

Taarifa Mpya Kutoka Simba Mchana Huu

Klabu ya Simba mchana huu Imetoa taarifa juu ya safari yao kwenda Mtwara ambapo inatarajia kucheza dhidi ya Ndanda kutoka Mkoani Humo.
Kikosi na msafara mzima wa Simba  unatarajia kuondoka kesho Alfarjiri kuelekea Mtwara kwaajili ya Mchezo dhidi ya Ndanda Jumamosi December 30, 2017


Tupe Maoni Yako