Wednesday, December 27, 2017

Mawingu Tz

Hatimaye Liverpool Yamnasa Beki Mholanzi Iliyemsotea Kutoka Southampton


Hatimaye Liverpool imefanikiwa kumnasa beki Mholanzi, Virgil van Dijk ambaye ilimsubukia kwa kipindi sasa.


Van Dijk atasaini na kujiunga na Liverpool pale pindi tu dirisha la usajili la Januari, 2018 litakapofunguliwa na Liverpool imekubali kutoa kitita cha pauni million 75 kwa Southampton.

Tupe Maoni Yako