Unaweza ukabisha ila ndiyo ukweli. Klabu ya Yanga inaongoza kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) dhidi ya watani zao Simba baada ya viwango vya ubora kuonyesha inashika nafasi ya 345 kwa ubora Afrika baada ya mechi zilizochezwa Desemba 17.
Wapinzani wao Simba wanashika nafasi ya 371 huku Azam nao wakiwa nafasi ya 365 kwenye viwango hivyo. Taarifa ya viwango hivyo inayopatikana kwenye mtandao wa footballdata base.com ilioshesha klabu ya Esperance de ndiyo inashika nafasi ya kwanza barani Afrika.
Tupe Maoni Yako