
"Maneno yamekuwa mengi kwenye vyombo vya Habari kuhusu kupishana kwetu na Ngoma kitu cha msingi hapa ambacho naweza kuwaeleza wale watu wanaotaka tuachane na Ngoma hilo halitotokea tutakaa chini chini kuyazungumza na hatimaye kuyamaliza," amesema Nyika.
Kiongozi huyo amesema anajua kwamba wanao paisha jambo hilo ni wapinzani wao Simba ambao lengo lao ni kumchukua mchezaji huyo na hilo halitowezakana kutokana na kushtukia mpango wao.
Ngoma alingia kwenye mgogoro n uongozi was timu yake baada ya kujiamlia kwenda kwao Zimbabwe kujiuguza bila ruhusa kutoka kwa viongozi wa timi na uongozi was timu umepanga kumwakilisha ili kutoa mfano kwa wachezaji wengine wenye mawazo Kama hayo.
Tupe Maoni Yako