Sunday, December 10, 2017

Mawingu Tz

Yanga Na Ngoma RASMI Sasa Kimeeleweka


Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya mabingwa hao watetezi wa taji la Ligi Kuu Tanzania Bara Hussein Nyika, amesema , matatizo yaliyotokea Kati Yao na Ngoma ni yakawaida ambayo wanaweza kukaa mezani na kuyamalia hivyo hawana mpango wa kuachana na mchezaji huo.


"Maneno yamekuwa mengi kwenye vyombo vya Habari kuhusu kupishana kwetu na Ngoma kitu cha msingi hapa ambacho naweza kuwaeleza wale watu wanaotaka tuachane na Ngoma hilo halitotokea tutakaa chini chini kuyazungumza na hatimaye kuyamaliza," amesema Nyika.
Kiongozi huyo amesema anajua kwamba wanao paisha jambo hilo ni wapinzani wao Simba ambao lengo lao ni kumchukua mchezaji huyo na hilo halitowezakana kutokana na kushtukia mpango wao.
Ngoma alingia kwenye mgogoro n uongozi was timu yake baada ya kujiamlia kwenda kwao Zimbabwe kujiuguza bila ruhusa kutoka kwa viongozi wa timi na uongozi was timu umepanga kumwakilisha ili kutoa mfano kwa wachezaji wengine wenye mawazo Kama hayo.

Tupe Maoni Yako