Saturday, December 23, 2017

Mawingu Tz

Yanga Imetangaza Kamati Ya Mchakato Wa Mabadiliko Kwenda Kampuni, Wamo Wataalamu Wa Uchumi, Wanasheria

Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kaimu Mwenyekiti wake, Clement Sanga, leo umetangaza kuteua rasmi Kamati ya mabadiliko.

Wafuatao ndiyo walioteuliwa

1. Alex Mgongolwa -  Mwenyekiti - Mwanasheria

2. Profesa Mgongo Fimbo - Mtaalam wa Katiba na Sheria za Ardhi

3. Meki Sadiki - Mkuu wa Mkoa Mstaafu

4. Mohamed Nyenge - Mchumi na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Fedha

5. George Fumbuka -  Mshauri wa Masuala ya Uwekezaji

6. Felix Mlaki - Mchumi na Mtaalam wa Masuala ya Fedha

Tupe Maoni Yako