Wednesday, December 6, 2017

Mawingu Tz

Leon Goretzka Mido La Hatari La Kijerumani...Azitoa Udenda Man U,Barca Na Arsenal



KIUNGO wa Schalke, Leon Goretzka, ni kama amezitega timu za Manchester United, Arsenal na Barcelona, baada ya kusema kuwa atazipa jibu ifikapo Januari mwakani.
Vigogo hao watatu kwa sasa ndio wanaotajwa kumwania nyota huyo.

Tupe Maoni Yako