Tuesday, December 5, 2017

Mawingu Tz

Ratiba KAMILI Kombe La FA Raund YA 3 Uingereza Imetoka...Itazame HAPA

RATIBA  ya raundi ya tatu ya Kombe la FA imetoka na gumzo kubwa ni mechi ya mahasimu wa Merseyside baina ya Liverpool na Everton.
Arsenal watamenyana na Nottingham Forrest wakati kocha Mreno, Jose Mourinho wa Manchester United atawakaribisha Derby County Uwanja wa Old Trafford, Tottenham Hotspur na AFC Wimbledon, Manchester City na Burnley na Norwich City dhidi ya Chelsea.
Wapinzani wa The Stanley Park watakutana Uwanja wa Anfield Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England ambao watakutana tena wikiendi ya kwanza ya Januari.
Mara ya mwisho walipangwa katika hatua hii mwaka 1932 na Liverpool ikashinda 2-1 Uwanja wa Goodison Park.
Hivi karibuni walikutana kwenye Nusu Fainali mwaka 2012 wakati mabao ya kipindi cha pili ya Luis Suarez na Andy Carroll yalipoipa Liverpool ushindi wa 2-1 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 la Nikica Jelavic.


Ratiba ya raundi ya tatu ya Kombe la FA imetoka na kubwa ni mechi ya mahasimu wa Merseyside baina ya Liverpool na Everton 

RATIBA RAUNDI YA TATU KOMBE LA FA ENGLAND

Ipswich Town v Sheffield United
Watford v Bristol City
Birmingham City v Burton Albion
Liverpool v Everton
Brighton & Hove Albion v Crystal Palace
Aston Villa v Woking or Peterborough United
Bournemouth v AFC Fylde or Wigan
Coventry City v Stoke City
Newport County v Leeds United
Bolton Wanderers v Huddersfield Town
Port Vale v Bradford City
Nottingham Forest v Arsenal
Brentford v Notts County
Queens Park Rangers v MK Dons
Manchester United v Derby County
Forest Green Rovers or Exeter City v West Bromwich Albion
Doncaster Rovers v Rochdale
Tottenham Hotspur v AFC Wimbledon
Middlesbrough v Sunderland
Fleetwood or Hereford v Leicester City
Blackburn Rovers or Crewe Alexandra v Hull City
Cardiff City v Mansfield Town
Manchester City v Burnley
Shrewsbury Town v West Ham United
Wolverhampton Wanderers v Swansea City
Stevenage v Reading
Newcastle United v Luton Town
Millwall v Barnsley
Fulham v Southampton
Wycombe Wanderers v Preston North End
Norwich City v Chelsea
Gillingham or Carlisle United v Sheffield Wednesday
Mechi zitachezwa katia ya Januari 5 na 7 mwaka 2018.

Tupe Maoni Yako