Wednesday, December 6, 2017

Mawingu Tz

PICHAZ:Tazama Jinsi Mshambuliaji Mpya Wa Azam Alivyoanza Kuonesha Mavituz Huko Chamazi

Mshambuliaji mpya wa Azam FC, Bernard Arthur akiondoka na mpira katika mazoezi ya timu hiyo jana asubuhi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Bernard Arthur amekuwa kivutio katika mazoezi ya Azam FC tangu awasili wiki iliyopita  
Bernard Arthur (kushoto) akikimbia na wenzake Azam Complex, Chamazi
Bernard Arthur hapa akifanya mazoezi ya gmy ndani ya Azam Complex
Wachezaji wengine wa Azam FC wanaendelea na mazoezi pia na hapa wakiwa kwenye bwawa la kuogelea la Azam Complex


Tupe Maoni Yako