Saturday, January 6, 2018

Mawingu Tz

Aishi Alivyoachana Na Ukapera Kwa Kufunga Ndoa Na Aisha


Kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula ameachana na ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Aisha.

Manula hakwenda Zanzibar ambako Simba inashiriki michuano ya Kombe la Mapinzudi ili kukamirisha kazi hiyo ya kuuaga ukapera.

Taarifa zinaeleza, Aishi na Aisha wamekuwa wapenzi wa siku nyingi.

Tupe Maoni Yako