Thursday, December 21, 2017

Mawingu Tz

Hii Hapa Ratiba Nusu Fainali Ya EFL(Carabao Cup 2017)

Baada ya timu nne zilizoingia Nusu Fainali ya EFL Caraboa Cup hatimaye Droo ilifanyika usiku wa Jana na droo hiyo Kuamua.
Katika Droo Hiyo imezikutanisha Chelsea vs Arsenal wakati Manchester City watacheza dhidi ya Bristol City.
Chelsea walijihakikishia kuingia Nusu Fainali baada ya kuwapa kichapo Bournemouth wakati Kwa jana hiyo Hiyo Man United akikubali kichapo cha bao 2 kwa 1 kutoka kwa Bristol City.

Tupe Maoni Yako